Mhifadhi katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,KINAPA ,Charles Ngendo akiwatambulisha wageni kutoka Afrika Kusini
Baadhi ya wapagazi Mkoani Kilimanjaro wamelalamikia tabia ya uongozi wa watalii ya kuomba rushwa ya Ngono,ili kuwapatika kazi za kuwapandisha watalii katika hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.