Baraza la Madiwani lamkataa afisa elimu

Madiwani wakiwa katika kikao

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera, limemkataa Afisa Elimu Sekondari wa Wilaya hiyo, Hellen Lugumila, kwa tuhuma za uzembe na kusababisha wilaya hiyo kuwa ya mwisho katika matokeo ya shule za sekondari kimkoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS