Mwanajeshi akisaidia na mbwa kutafuta watu waliofukiwa na kifusi cha jengo Jijini Nairobi
Mtoto wakike mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu ameokolewa akiwa hai jana kutoka kwenye kifusi cha jengo la ghorofa lililoanguka Jijini Nairobi baada ya siku nne kupita.