Bandari ya DSM kuboreshwa upya

Bandari ya Dar es salaam

Mamlaka ya Bandari nchini Tanzania TPA imetangaza kuanza kufanya maboresho ya bandari ya Dar es salaam ili kuondokana na msongamano wa mizigo pamoja na kurahisisha upakuaji wa mizigo unayopitia katika bandari hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS