Waliofariki jengo lililoanguka Nairobi waongezeka Watu wakiendelea na Uokozi katika jengo lililoanguka Nairobi Maafisa mjini Nairobi nchini Kenya wamesema idadi ya watu waliokufa baada ya jengo la makaazi kuporomoka katika mtaa wa Huruma imefikia watu 16 na wengine 73 bado hawajapatikana. Read more about Waliofariki jengo lililoanguka Nairobi waongezeka