Watu wenye Albnism hatarini kutoweka Malawi-Ero
Mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wenye ulemavu wa ngozi, au albino, Ikponwosa Ero ameonya kuwa machungu na vitisho vinavyokabili albino nchini Malawi vinahatarisha uwepo wao iwapo hatua hazitachukuliwa.