Wazazi watakiwa kuwaendeleza watoto wao kielimu Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Fatma Ally Wazazi na walezi mkoani Mtwara wametakiwa kuwaendeleza kielimu watoto wao walioishia elimu msingi ili waweze kunufaika na uwekezaji unaofanyika kupitia kampuni mbalimbali. Read more about Wazazi watakiwa kuwaendeleza watoto wao kielimu