Sare Simba/Azam yaisafishia Yanga njia ya ubingwa.

Viungo wa timu za Simba na Azam Jonas Mkude 'fundi' [kulia] na Salum Aboubakar 'sure boy' wa Azam [kushoto] wakiwania mpira.

Unaweza kusema kuwa matokeo ya suluhu ya timu za Simba na Azam katika mchezo wa hii leo ni kama wameisafishia njia timu ya Yanga amabao ndiyo mabingwa watetezi wa ligi hiyo na sasa inajidai kileleni ikiziacha timu hizo kwa alama saba katika msimamo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS