CHRAGG;Kutoonesha bunge ni kuwanyima wananchi haki

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Tom Nyanduga

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania(CHRAGG), imesema kuwa kutorushwa kwa matangazo ya Bunge ya moja kwa moja kunaweza kutafsiriwa kama kuwanyima wananchi haki ya kupata habari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS