Watendaji watakiwa kutoa kipaumbele kwa walemavu

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira na Walemavu Dkt. Abdallah Possi.

Watendaji wa Serikali wametakiwa kuwajibika kwa kutoa kipaumbele kwa watu wenye ulemavu katika masuala mbalimbali ikiwemo kuwawezesha kiuchumi pamoja na kuwapatia fursa sawa za ajira kwa mujibu wa sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS