Watanzania jizoesheni ushiriki michezo-Nkenyenge Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Makoye Alex Nkenyenge Watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuweza kushiriki katika michezo mbalimbali ili kujijengea mafanikio ya kimichezo hapa nchini. Read more about Watanzania jizoesheni ushiriki michezo-Nkenyenge