Tusahau tofauti zetu wanachadema; Lissu

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amewataka wanachama wa chama hicho kusahau mikwaruzano waliyopitia katika uchaguzi na kwenda mbele kukijenga chama pasipo kuweka tofauti zao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS