Wasira ataka watu kutii katiba na sheria za nchi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii katiba na sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.