Sakata la kufungia mtandao wa TikTok lafika pabaya

Pichani ni Rais wa 47 wa taifa la Marekani Bw. Donald Trump ambaye anatarajiwa kukabidhiwa rasmi kofia hiyo mapema jumatatu 20 January 2025

Kubwa kwa sasa kwenye upande wa teknolojia ni kufungiwa kwa mtandao wa TikTok nchini Marekani, ripoti za awali zinasema ifikapo tarehe 19 mwezi huu itakuwa ngumu kwa mtumiaji wa TikTok kutokea nchini humo kupata huduma za mtandao huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS