Sakata la kufungia mtandao wa TikTok lafika pabaya
Kubwa kwa sasa kwenye upande wa teknolojia ni kufungiwa kwa mtandao wa TikTok nchini Marekani, ripoti za awali zinasema ifikapo tarehe 19 mwezi huu itakuwa ngumu kwa mtumiaji wa TikTok kutokea nchini humo kupata huduma za mtandao huo.