Tuweke itikadi za siasa kando kwa Maendeleo-CCM Kikao cha balaza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Momba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Momba mkoani Songwe kimewataka madiwani wa halmashauri ya wilaya kujenga umoja na mshikamano pasipo kubaguana kutokana na itikadi za vyama. Read more about Tuweke itikadi za siasa kando kwa Maendeleo-CCM