Kipindupindu chaendelea kuwa tishio nchini

Naibu Waziri wa afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Dkt. Khamis Kigwangala

Watu tisa wamepoteza maisha na wengine 473 wameugua ugonjwa wa kipindupindu katika kipindi cha wiki moja toka February 22 hadi 28 mwaka huu huku mkoa wa Mara ukitajwa kuongoza kwa maambukizi mapya ya ugojwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS