WBF wasema Cheka alishinda kihalali.

Bondia Francis Cheka akiwa amebebwa juu juu mara baada ya kutangazwa mshindi na kutwaa mkanda wa mabara wa WBF.

Baada Francis Cheka kuibuka na ushindi dhidi ya Geard Ajetovic raia wa Serbia anayefanya kazi zake nchini Uingereza, baadhi ya mashabiki wa michezo nchini wakiwemo wadau wa ngumi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na matokeo ya mpambano huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS