JWTZ kuwasaka majambazi katika misitu ya Pwani

Silaha zilizokamatwa siku za hivi karibuni katika Ujambazi

Wizara ya mambo ya ndani ya nchi nchini Tanzania imesema kuwa inakusudia kufanya mazungumzo ya kushirikisha jeshi la wananchi ili kuungana na jeshi la polisi katika kuwasaka majambazi wanaolisumbua jiji la Dar es salaam, waliokimbilia mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS