Chamberlain kuikosa Manchester United .

Winga wa Arsenal Alex Chamberlain akishangila moja ya bao aliloifungia timu yake.

Kocha wa klabu ya Arsenal Mfaransa Arsène Wenger amethibitisha kuwa nyota Alex Oxlade-Chamberlain ataukosa mchezo muhimu wa ligi kuu nchini Uingereza dhidi ya Manchester United utakaopigwa Jumapili hii kutokana na kuwa majeruhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS