Wakulima wa mpunga wamvamia mwekezaji wa Sukari

Wananchi wakiwa kwenye miundo mbinu ya mwekezaji wa kiwanda cha Sukari cha TPC, Moshi wakiaharibu miundombinu hiyo

Wakulima wa mpunga katika skimu ya umwagiliaji Mawala kata ya Kahe wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamevamia na kuharibu miundombinu ya ugawaji maji kupeleka katika mashamba ya miwa ya mwekezaji wa kiwanda cha sukari TPC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS