Yanga yainyamazisha Simba Taifa

Beki wa yanga hajji mwinyi kulia(picha)akijaribu kumpita wa Simba Ramadhani Kessy .

Klabu ya soka ya wekundu wa Msimbazi Simba wameendeleza uteja mbele ya watani wao wa jadi Yanga baada ya kukubali kipigo cha bao 2-0 kwenye mechi ya ligi kuu ya soka Tanzania bara iliyopigwa jioni ya leo jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS