Vijana wa Skauti wakiwa katika moja ya maadhimisho nchini
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza wakurugenzi wote wa manispaa nchini pamoja na maafisa wa elimu kuhakikisha kwamba uskauti haukwami bila ya sababu za msingi.