Magufuli apiga marufuku utoaji vibali vya sukari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,Akizungumza jana Ikulu Jijini Dar es Salaam na Makundi ya Wanahabari, wasanii, Tehama na Chama cha mapinduzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amepiga marufuku utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi ili kulinda na kuimarisha viwanda vya ndani ambavyo viliathriwa kwa kiasi kikubwa cha bidhaa hiyo kutoka nje.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS