Tundu Lissu Ashinda Uenyekiti CHADEMA

Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Tundu Lissu akihutubia wajumbe leo hii 22 Januari, 2025

Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti aliyemaliza muda wake ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) akipata kura 513 (51.5%) akiwashinda wapinzani wake Freeman Mbowe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS