Upana wa kikosi cha Simba SC ni faida kubwa

Ubora huu wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Fadlu Davies unatokana na upana wa kikosio hiko na ubora wa Mchezaji mmojammoja ulioongezeka kwenye kikosi hiko.

Klabu ya Simba inaongoza ligi kuu Tanzania bara imekuwa na mwanzo kutokana na kuongoza katika maeneo makuu muhimu kitwakimu.Timu hiyo inaongoza kwenye ufungaji wa magoli ambapo mpaka sasa lihgi kuu imefunga magoli 25 huku ikiwa imeruhusu magoli 5 tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS