Mbwana Makata afutwa kazi Tanzania Prisons

Klabu ya Tanzania Prisons kutoka Mkoani Mbeya imeachana na Kocha Mkuu Mbwana Makata pamoja na Msaidiz wake Renatus Shija kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo.

Prisons chini ya Kocha Makata imecheza michezo 14 ya Ligi Kuu na kushinda michezo 2, droo 5, kupoteza 7 huku ikifunga magoli 6 na kuruhusu magoli 13 inashika nafasi ya 14 katika msimamo wa Ligi Kuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS