Taifa Stars yashtua Mashabiki kuelekea CHAN 2025

Taifa Stars imepoteza michezo yake yote mitatu iliyocheza kwenye michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar,hofu imetanda kutokana na Wachezaji ambao wataunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya CHAN wengi wao wametumika katika michuano ya Mapinduzi.

Zikiwa zimesalia siku chache mashindano ya nchi Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ligi za ndani Maarufu CHAN yaanze,mashindano ambayo yatafanyika kwa muunganiko wa mataifa ya Tanzania,Kenya na Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS