Sead Ramovic atamba kuiangamiza Dodoma Jiji

Yanga SC imeshinda michezo miwili mtawalia ya ligi kuu Tanzania bara kwa mara ya kwanza tangu ipoteze dhidi ya kikosi cha Tabora United kutokea mkoani Tabora.

Kocha mkuu wa Yanga SC Sead Ramovic amesema maelengo yao ni kuhakikisha wanashinda mchezo wa Ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo utakaochezwa kesho Jumatano Disemba 25, 2024. uwanja wa Jamuhuri Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS