Mafuriko yaleta majanga Afrika Kusini

Maruriko hayo yamepelekea hasara kubwa kwa miundombinu na wakulima

Afrika Kusini imetangaza mafuriko yaliyotokea nchini humo kuwa  janga la kitaifa  baada ya mvua kubwa kusababisha majimbo yake saba kati ya tisa kufurika, kuharibu barabara na madaraja na kuwaacha wakulima wakipata hasara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS