Masanja ahimiza ufugaji wa Nyuki 

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya Manyoni imetakiwa kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kujiunga na miradi ya ufugaji nyuki ili kuendeleza uhifadhi wa mazingira na kujiongezea kipato kutokana na mazao yatokanayo na ufugaji nyuki kama asali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS