"Vyombo vya habari ni vya watu wote"- Askofu

Askofu Emaus Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Morovian

Askofu Emaus Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Morovian, amesema kuwa vyombo vya habari ni jicho, sikio na ni mguso wa umma na Taifa kwani  vinafanya kazi ya kuhabarisha, kuonya ama kufundisha watu wote katika nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS