UNHCR yajenga makazi kusaidia wakimbizi DRC

Takriban nyumba 3,000 zimejengwa Bushagara, kaskazini mwa mji wa Goma nchini DRC Congo ili kuwapokea wakimbizi wa ndani wanaoishi katika hali ngumu  kutokana na kukimbia mapigano makali kati ya jeshi na waasi wa M23.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS