Huko nje sio shwari lindeni wadogo zenu - Samia

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanafunzi na watanzania kuacha kuiga baadhi ya mambo ya nje ya nchi ambayo yanakwenda kinyume na mila na tamaduni za mtanzania huku akiwataka vijana kuwalinda wadogo zao kwa hali sio swari

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS