Wanaume wa miaka 35 wanazaa watoto wenye usonji
Wanaume wanaoamua kuwa wazazi baada ya miaka 35, upo uwezekano wa kuwa na hatari ya watoto wao kuzaliwa kabla ya muda (Njiti) au wenye hali ya usonji (autism), na kwamba mwaka unaposogea mbegu za uzazi za kiume hupungua ubora wake jambo linalohatarisha uwezo wao wa kuendeleza vizazi.