Asilimia 55.2 wanafunzi Tanga hawajaripoti shuleni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki amesema hajaridhishwa na hali ya asilimia 55.2 ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani Tanga kutoripoti shule

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS