Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov (kulia) atakua na ziara ya siku mbili nchini Mali kuanzia leo
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov anatarajiwa kuwasili katika mji mkuu wa Mali, Bamako leo Jumatatu kwa ziara yake ya pili barani Afrika katika kipindi cha wiki mbili.