Ujenzi SGR watumia 23 Trilioni - Masanja Kadogosa

Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa , amesema Tanzania imetumia zaidi ya Sh  23 Trilioni kwa ajili ya kujenga Reli ya kisasa (SGR) inayolenga kuimarisha uchumi wa nchini, katika ukanda wa nchi za pembe ya Afrika Mashariki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS