Wakuu wa shule 40 waondolewa kazini Kagera Zaidi ya wakuu wa shule na walimu wakuu 40 wameondolewa katika nyadhifa zao katika mkoa wa Kagera baada ya shule tano za msingi kufutiwa matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka jana Read more about Wakuu wa shule 40 waondolewa kazini Kagera