Wakuu wa shule 40 waondolewa kazini Kagera

Zaidi ya wakuu wa shule na walimu wakuu 40 wameondolewa katika nyadhifa zao katika mkoa wa Kagera baada ya shule tano za msingi kufutiwa matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka jana

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS