Producer wa East Africa Radio ashinda tuzo

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida akipokea cheti baada ya kushinda tuzo.

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida amefanikiwa kushinda tuzo ya 'Best Radio Producer' kwenye hafla ya utolewaji wa tuzo za uandishi wa habari za watoto zilizotolewa na Jukwaa la Wahariri (TEF) kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS