Maoni ya TANNA sio msimamo wa serikali Wizara ya Afya imesema maoni yaliyotolewa January 11,2023 na Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kuhusu sakata la Uyui la Rose na James, sio msimamo wa Serikali bali ni maoni yao kama Chama hiari cha kitaaluma Read more about Maoni ya TANNA sio msimamo wa serikali