Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene, ameomba wananchi kuendelea kuiombea nchi dhidi ya majanga mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukame, njaa, mafuriko na ajali.