Simbachawene awasihi Watanzania kuiombea nchi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene, ameomba wananchi kuendelea kuiombea nchi dhidi ya majanga mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukame, njaa, mafuriko na ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS