Singida Big Stars yaitambia Simba

Wachezaji wa Singida Big Stars

Uongozi wa klabu ya Singida Big Stars umejinasibu kupata ushindi na kuondoka na alama 3 mbele ya kikosi cha Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania unaotaraji kuchezwa Ijumaa Februari 3, 2023 kwa wanajivunia sajili za wachezaji wapya walizozifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS