Mvutano wa Rwanda na DRC wachukua sura mpya Jeshi la DRC limesema kwa sababu za kiusalama limewaamuru kuondoka nchini humo maafisa wa Rwanda waliokuwa wanachama wa Kamandi ya Vikosi vya Kanda ya Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyoko Goma, DRC. Read more about Mvutano wa Rwanda na DRC wachukua sura mpya