Marekani kutoipa ndege Ukraine.

Rais wa Marekani Joe Biden

Rais wa Marekani Joe Biden amefutilia mbali uwezekano wa kutuma ndege za kivita za F-16 nchini Ukraine, licha ya wito mpya kutoka kwa maafisa wa Ukraine wa kuomba msaada wa ulinzi wa anga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS