Serikali yahamasisha michezo kwa watoto

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Pauline Gekul

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Pauline Gekul amesema kuwa, miongoni mwa mipango ya Serikali katika kuziendeleza timu za Watoto ni pamoja na kuendelea kuratibu mashindano ya michezo ya Shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Shule za Sekondari (UMISSETA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS