Afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto

Benjamin John mkazi wa kata ya Kasamwa halmashauri ya mji Geita, amefariki dunia huku wengine wakinusurika kifo baada ya kusombwa na Maji wakati wakijaribu kuvuka  katika mto Nyampa kuelekea kijiji cha jirani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS