TPA Tanga yajipanga kushawishi wamiliki wa Meli
Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA mkoa Tanga imesema kuwa imeandaa mikakati ya kupunguza gharama kwa muda maalumu (Low Cost) ili kuwavutia wateja na kufanya mazungumzo ya kuwashawishi wamiliki wa meli kuanza kuleta meli kubwa bandari ya Tanga badala ya kutumia bandari jirani.