Afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Benjamin John mkazi wa kata ya Kasamwa halmashauri ya mji Geita, amefariki dunia huku wengine wakinusurika kifo baada ya kusombwa na Maji wakati wakijaribu kuvuka katika mto Nyampa kuelekea kijiji cha jirani Read more about Afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto