Polisi Mwanza watangaza msako wa fisi

Baada ya kutokea tukio la mtoto Emanuel Marco Nyangela kufariki dunia kwa kuliwa na fisi katika Kijiji cha Mwangika kata Mwabomba wilayani Kwimba mkoani Mwanza, kamanda wa polisi mkoa huo Wilbroad Mutafungwa amefika katika Kijiji hicho na kuahidi kushirikiana na vyombo vingine vya serikali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS