Wanaolima bangi Geita kusakwa

Kaimu Mkuu wa wilaya ya Nyanghwale mkoani Geita Fabian Sospeter ametangaza operesheni ya kuwasaka na kuwakamata watu wote wanaovamia hifadhi ya msitu wa serikali wa Miyenze  na kulima zao haramu la bangi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS