Kijana ajiua kisa pesa ya soda

Kijana aliyejiua

Bukindu Mhoja (22), mkazi wa Kitongoji cha Bugogo, Kata ya Bukoli mkoani Geita amejiua kwa kunywa sumu, baada ya kudaiwa hajalipa shilingi 45,000 ya soda alizokuwa ameagizwa kwenye duka la Masikio ambaye alimpokonya vinywaji na kumsema kwa maneno mabaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS