China yaondoa sharti la wasafiri kukaa karantini

Wahudumu wa afya

Serikali ya China imesitisha sharti lake la kukaa karantini siku nane kwa wasafiri wote wanaoenda nchini humo kuanzia Januari 8, 2023, na badala yake wanatakiwa kupima Uviko-19 masaa 48 kabla ya safari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS