UWT Mbeya wampa tuzo Rais Samia

Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Mkoa wa Mbeya, wamemkabidhi tuzo  ya heshima Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  ikiwa ni hatua ya kutambua mchango wake katika kuwaletea maendeleo na amani na utulivu nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS